Kocha wa Bayer Leverkusen Xabi Alonso amesisitiza Ijumaa (05.04.2024) kwamba ni mapema mno kuzungumzia taji la Bundesliga licha ya timu yake kuwa na mwanya wa alama 13 kileleni mwa Bundesliga.
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results